HABARI BURUDANI MICHEZO UDAKU AJIRA MUZIKI NA MENGINE MENGI KWENYE UKURASA HUU

  • Breaking News

    Khamis, 19 April 2018

    Andy Murray, Serena Williams kukonga nyoyo za mashabiki French Open

    Andy Murray na Serena Williams wanatarajiwa kukonga nyoyo za mashabiki wao kwenye michuano ya wazi ya Tennis ya Ufaransa (French Open) baada ya kuthibitishwa kuwemo kwenye orodha ya wachezaji watakao shiriki.
    Murray ambaye hajashiriki mchezo huo tangu alivyofanya hivyo mwaka jana kupitia michuano ya  Wimbledon anatarajiwa kurejea tena huku mwanadada Williams akiwa amerudi Mwezi Februari baada ya kuwa nje ya uwanja kwa miezi 13 kufuatia kulea ujauzito.
    Murry raia wa Uingereza mwenye umri wa maiak, 30 aliwahi kuthibitisha kushiriki mashindano ya Rosmalen huko Netherlands mwezi uliyopita.

    Tiada ulasan:

    Loading...

    AJIRA

    SIMU

    AFYA

    UDAKU