HABARI BURUDANI MICHEZO UDAKU AJIRA MUZIKI NA MENGINE MENGI KWENYE UKURASA HUU

  • Breaking News

    Thursday, June 14, 2018

    MAJINA YA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JKT MUJIBU WA SHERIA AWAMU YA PILI 2018



    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefanya uteuzi wa awamu ya pili ya wanafunzi waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita mwaka 2018 kujiunga na mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria.

    Vijana hao wanatakiwa kuripoti katika makambi ya JKT waliopangiwa kuanzia tarehe 14 Juni 2018 hadi tarehe 20 Juni 2018.

    JKT linaendelea kusisitiza kuwa ni kosa la kisheria kwa mhitimu yoyote wa elimu ya kidato cha sita aliyeteuliwa kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria (Compulsory) kukaidi kuhudhuria mafunzo hayo.

    Mkuu wa JKT anawakaribisha vijana wote walioteuliwa ili waweze kujiunga na vijana wenzao katika kujifunza Uzalendo, Umoja wa Kitaifa, stadi za kazi stadi za maisha na Utayari wa kulijenga na kulitumikia Taifa letu.

    Orodha kamili ya majina ya vijana walioteuliwa awamu ya kwanza na awamu ya pili, vifaa wanavyotakiwa kwenda navyo na makambi waliyopangiwa vinapatikana kwenye tovuti ya JKT ambayo ni www.jkt.go.tz

    BOFYA HAPA CHINI KUANGALIA MAJINA YA VIJANA WALIOCHAGULIWA MUJIBU AWAMU YA PILI 2018



    MARAMBA-TANGA              MGAMBO-TANGA             MLALE-RUVUMA

    MSANGE-TABORA          MTABILA-KIGOMA          NACHINGWEA-LINDI


    Imetolewa na:
    Kurugenzi ya Habari na Uhusiano,
    Makao Makuu ya JKT,
    Tarehe 13 June 2018.

    No comments:

    Loading...

    AJIRA

    SIMU

    AFYA

    UDAKU