HABARI BURUDANI MICHEZO UDAKU AJIRA MUZIKI NA MENGINE MENGI KWENYE UKURASA HUU

  • Breaking News

    Saturday, July 7, 2018

    Gigy Money Afunguka Kumsamehe Mo J, Nitamzalia Hata Watoto 4 Akitaka

    Video vixen Gigy na muimbaji Gigy Money amesema kwa sasa yupo pamoja na baba mtoto wake Mo Jay ikiwa ni miezi kadhaa toka wagombane na kurushiana maneno ya kashfa kupitia mitandao ya kijamii. Gigy amesema kwa sasa yupo tayari hata kumzalia watoto kwa kuwa amegundua mtangazaji huyo wa Choice FM ni mwanaume makini. 





    - Bongo5

    No comments:

    Loading...

    AJIRA

    SIMU

    AFYA

    UDAKU