HABARI BURUDANI MICHEZO UDAKU AJIRA MUZIKI NA MENGINE MENGI KWENYE UKURASA HUU

  • Breaking News

    Monday, June 11, 2018

    Ajali yaua watatu RiverSide Mabibo Hostel,





    #Ajali yaua watatu
    Taarifa kutoka eneo la RiverSide Mabibo Hostel, Ubungo kuna ajali imetokea usiku huu ikihusisha gari lililokuwa limebeba mgonjwa (ambulance) na lori la mizigo ambapo gari la mgonjwa limeingia upande wa pili wa barabara (wrong site) ikiwa inamuwahisha mgonjwa likagongana na lori kubwa ambalo lilikuwa katika njia yake sahihi.
    Ajali hiyo iliyotokea muda si mrefu eneo la Riverside, imehusisha Ambulance ya Chuo kikuu cha Dar es salaam iliyokuwa ikipeleka mgonjwa Mlimani Campus tokea Mabibo Hostel imegongana na scania.

    Waliofariki ni Dereva wa Ambulance, Nursey na Dada huyo mjamzito ambaye ni mwanafunzi.





    No comments:

    Loading...

    AJIRA

    SIMU

    AFYA

    UDAKU