HABARI BURUDANI MICHEZO UDAKU AJIRA MUZIKI NA MENGINE MENGI KWENYE UKURASA HUU

  • Breaking News

    Monday, May 14, 2018

    DHARAU ZAMPONZA ALIKIBA: VIEWS WACHACHE + VIDEO HAIPO TRENDING



    Kujiheshimu na kuheshimu wengine ni mmoja ya nguzo kuu katika mafanikio, Hii imedhihirishwa tena baada ya msanii Ali kiba kuwa katika skendo mbali mbali za kudharau watu wengine na kujiona yeye ndio mwamba kitu ambacho kimehaaribu sana muziki wake.

    Ikumbukwe ya kwamba Ali Kiba hayupo socially interractive lakini hili pekee sio la kumfanya asiweze kuheshimu wenzake, Naposema huyu hayupo socially interractive ni kwamba sio mtu wa kujichanganya changanya na watu na ndio maana kuna kipindi menejimenti yake ilimwambia ajaribu kupata mashabiki zaidi kupitia kuwa socially interractive, Hatua ya kwanza hii walianza kumfanya Ali Kiba apande dala dala ajimix na watu lakini ilikuwa ni dhahiri kaisa huyu kaka mkubwa alikuwa anavumilia tu kuwemo kwenye dala dala,,,Tizama hapa



    Kuna kipindi msanii mwenzake Harmorapa alienda kumpokea airport na alikuwa ame mwandali alikiba t-shirt kaisa lakini unajua kilitokea nini, Unaambiwa ali kiba aliikataa akafunga kioo cha gari ila baada ya muda kidogo inadhaniwa kwamba management yake ilimlazimisha tu aichukue hio t-shirt



    Wiki kadhaa zilizopit tulishuhudia live bila chenga msibani, Msanii Diamond alipofika mibanid na kuanza kusalimiana na wenzake kwa heshima ya kupeana mkono kwa mkono hali ilikuwa tofauti kwa Ali kiba ambae alitoa kiganja pale alipopewa mkono wa salamu, Hili tukio lilikuwa ni wazi kabisa kaka braza ana dharau mno



    Ali Kiba ni Mswahili na amekulia Uswahilini ila cha ajabu hawezi kuishi Kiswahili.
    Kubwa zaidi wanaomzunguka hawampi Ushauri wa kumjenga ama hakubali kushauriwa.
    Hivi anapungua nini akijishusha kwa Jamii inayomzunguka ambao ndo Mashabiki zake? Au kuitwa King ndo anaona amemaliza kila kitu?
    Bado anahitaji kujifunza zaidi lasivyo atazidi kupoteza Mashabiki zake!

    1 comment:

    Anonymous said...

    New
    Kiba hadhi aliyokuwa amepewa ni kubwa kuliko jina lake, sasa ukweli unajidhihirisha wazi.

    Mziki ushamshindaa

    Loading...

    AJIRA

    SIMU

    AFYA

    UDAKU